Mwanzo » » BABY MADAHA: SIRI YANGU NI UCHAWI KITANDANI SIO UCHAWI WA MGANGA.

BABY MADAHA: SIRI YANGU NI UCHAWI KITANDANI SIO UCHAWI WA MGANGA.

Imewekwa ma Unknown siku Saturday 23 November 2013 | 23:11

BABY MADAHA
Baada ya tuhuma za msanii Baby Madaha kuwa kuna uwezekano natumia dawa za kienyeji kuwakamata wa naume kimahaba,sasa Baby Madaha afunguka na kusema sio hivi wafikiriavyo bali ni uwezo wake mzuri kitandani ndio maana wanadata pindi wakitapa nafasi ya kulamba hasali kwa maana awapo uwanjani kila kona za mchezaji mwenzake kumuwezesha ufungaji wa magoli kwa raha zaidi.

"Situmii  dawa  yoyote.Ni  ufundi  wangu  tu  ninapokuwa  kitandani  na  mwanaume. Nayajua  mapishi  na  najua  njia  zote  za  kumpagawisha  mwanaume  hata  awe  mgumu  kiasi  gani" alifunguka mwandada Bby Madaha.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa