Mwanzo » » HUYU NDIYE DIRECTOR WA WEMA SEPETU ALIYE TIMULIWA KAZI KWA KOSA LA UFUSKA KATIKA MAGARI YA WEMA.

HUYU NDIYE DIRECTOR WA WEMA SEPETU ALIYE TIMULIWA KAZI KWA KOSA LA UFUSKA KATIKA MAGARI YA WEMA.

Imewekwa ma Unknown siku Saturday 23 November 2013 | 21:38

WEMA NA CHID ENZI ZA USHIRIKIANO KATIKA KAZI
Na Muandishi wetu: D'

Hivi karibuni mwandada mkali wa filamu bongo ana aliyewahi kuwa miss Tanzania 2006 baada ya kuibuka mshindi kwa urembo na kuwa amekidhi vigezo vyote ambaye pia anazidi kufanya vizuri katika tasnia ya filamu Tanzania ambaye pia anamiliki Kampuni yake binafsi inayokwenda kwa jina ''ENDLESS FAME PRODUCTION '',hivi karibuni aliigia katika Kashfa ya vitendo ya ufusika katika kampuni yake baada ya kijana ajulikanaye kama CHI ambaye ndiye alikuwa DIRECTOR wake wa karibu zaidi katika kazi zake kueuza magari ya WEMA SEPETU guest house kwa kuyatumia kumaliza haja zake na mademu na hata kug'oa mdemu wakali kuwa kutumia magari ya kifahari anayomiliki WEMA baada ya kumpa uhuru wa kuyatumia kikazi.

Wema Sepetu amemfukuza director CHID kuepukana ka Kashfa ya ufusika wa kijana huyo hasije kuonekana kulinda maovu na pia ikiwa ni moja ya njia ya kendelea kulinda kazi zake zisichafuliwe na tabia mbaya za baadhi ya wafanya kazi kama alivyo CHID jambo litakalo mlindia heshima na kuleta picha nzuri katika kazi na liwe onyo na fundisho kwa wengine weliochini ya kampuni yake kufanya kazi wakiwa ndani ya maadili mema kwani maadili mema yanajenga zaidi kazi.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa