BELLE 9 |
Kwasasa Belle 9 ameachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina WANITAKA ikiwa ni ngoma ya maadhi ya kiafrika zaidi.
Akizungumza kupitia kituo flani cha Radio katika interview Belle 9 amesema kuwa kikubwa kinachomfanya azidi kuweka makazi yake MOROGORO tufauti na wasanii waliowengi hamia jijini DAR kwa madai ya kusema kuwa ni mji wa biashara kwasababu yeye kwa sasa yuko na familia ambapo yuko na mtoto mmoja ambaye amempata na mwandada anayeishi naye kama mkewe japo bado hajamuoa kwani ameshamtambulisha kama mchumba hivyo kilichobaki kwasasa ni ndoa tu binti anayejulikana kwa jina NIA.
Post a Comment