Mwanzo » » KILICHOMPELEKA A.Y KENYA NI HIKI HAPA,PREZZO NA VICTORIA KIMANI WAMO NDANI.

KILICHOMPELEKA A.Y KENYA NI HIKI HAPA,PREZZO NA VICTORIA KIMANI WAMO NDANI.

Imewekwa ma Unknown siku Wednesday 20 November 2013 | 14:44

AY,PREZZO NA VICTORIA KIMANI

Msanii A.Y amefunga safari kwenda chini KENYA sio kwenda kula bata bli ni mishe za kazi tu na waliokatika mapango huu wa kazi ni PREZZOna Mwanadada VICTORIA KIMANI ambapo kupitia account ya A.Y ya mtabdao wa instagram alipost picha yake akiwa na wakali PREZZO na VICTORIA KIMANI akiwa katika set ya shoot hivyo ni wazi wako katika kushoot ngoma mpya toka kwa A.Y ataitoa wakati wowote toka sasa.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa