Mwanzo » » MAPENZI NA MSANII HUYU NI TANGU WAKIWA SHULE NA HATIMAYE AMVISHA PETE.

MAPENZI NA MSANII HUYU NI TANGU WAKIWA SHULE NA HATIMAYE AMVISHA PETE.

Imewekwa ma Unknown siku Tuesday 26 November 2013 | 13:35

STEVE RnB
Ni Steve RnB aliyefanya tukio la kipekee ambalo si kawaida kwa wasanii hasa wa Bongo Fleva kuweka wazi na kusema ukweli wa mahusiano yao hata kuvishana pete lakini kwa Steve RnB abaye amewahi kufanya vizuri na wimbo USINIHUKUMU wimbo ambao tukiutazama kwa jicho la kutohukumu watu ni kweli kwamba hatuna sababu za kumuhukumu Steve sawa na wasanii wengine kwasababu yeye ameonesha utofauti na kuamua kumvisha pete ya uchumba Binti ambaye amekua naye kimasomo kwani wamesoma shule wote na hata penzi lao wakiwa shule limewahi uwafukuzisha shule lakini mpaka kufika sasa bado wako wote na hatimaye Steve amemvalisha pete ya uchumba.
picha ya tukio la uvalishanaji wa pete
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa