Mwanzo » » P-SQUARE WAMETUA DAR SALAMA SALIMINI(PICHA) TUKIO ZIMA UWANJA WA NDEGE

P-SQUARE WAMETUA DAR SALAMA SALIMINI(PICHA) TUKIO ZIMA UWANJA WA NDEGE

Imewekwa ma Unknown siku Friday 22 November 2013 | 00:38

HAPA WAKIWA KATIKA MLANGO WA WALIOWASILI WAAKIHOJIANA NA WAANAHABARI KUTOKA KITUO CHA MATANGAZO EATV NA EARADIO.




Wale wakuitwa mapacha wawili P-SQUARE usiku huu wameshatinga ndani ya jiji la Dar es Salaam kwa kishindo kikaliiiiiiiiii hahahaaa #hadiRAHA sasa hiyo kesho Jumamosi pale viwanja vya Leaders Club ndio patachimbika. Wasanii kutoka bongo watakaosindikiza show hii ni pamoja na Prof Jay, Lady Jay Dee, Joh Makini na Ben Pol.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa