Mwanzo » » SNURA MUSHI AELEZA CHANZO CHA PICHA ZAKE NA MRISHO GASSA KUVUJA NA KUSAMBAA.

SNURA MUSHI AELEZA CHANZO CHA PICHA ZAKE NA MRISHO GASSA KUVUJA NA KUSAMBAA.

Imewekwa ma Unknown siku Thursday 28 November 2013 | 01:37


Baada ya kusanbaa kwa habari za kuwa kuna utata kati ya mwanamziki wa bongo flevaa na muigizaji toka bongo movie Snura Mushi na msakata kabumbu toka Tanzania Mrisho Ngassa kutokana na picha zilizo sambaa sasa Snura funguka kivingine na kudai '''Simu yangu ilipotea ndio maana wamezipata hizo picha, wakati tunashoot tulikua tunapigapiga tu hayo mapicha, mi sikuwa nataka kuzitoa kabisa manake movie yenyewe bado naifanya nusunusu kutokana na kukosa muda, hii ishu imeniletea sana matatizo manake mwingine anakua haamini unachokiongea na hakuna kitu kinauma kama kuongea ukweli alafu mtu anasema unadanganya’' alisema Snura


Snura hakuishia hapo alielezea pia kilichoendelea kati yake na Ngassa baada ya Ngassa kuona mitandaoni alimtafuta Snura na hali ilikuwa hivi '' Ngassa alinipiga muda mfupi tu baada ya picha kuanza kusambaa akauliza mbona hizi picha zinasambaa hivi Snura? nikamwambia usinielewe tofauti babaangu kwa sababu mimi mwenyewe sikutaka zitoke, picha nilizopiga nyinginyingi tu wakati tunatengeneza movie ila naona watu wameona hizi ndio nzuri kwa skendo'' Alimaliza kwa kusema hivyo,So mchongo ulikuwa hivi kwa mujibu wa Snura Mushi.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa