Mwanzo » » KITALE-BONGO MOVIE BURE,MUZIKI UNALIPA ZAIDI.

KITALE-BONGO MOVIE BURE,MUZIKI UNALIPA ZAIDI.

Imewekwa ma Unknown siku Tuesday 28 January 2014 | 19:03

KITALE
Msanii wa muziki wa kizazi kipya na muigizaji wa Bongo movie Kitale amesema hayo alipokuwa akihojiana na MR 255 na kusema kuwa katika movie uandaaji ni mkubwa na unaweza kulipwa malipo ya kazi husika kisha story ikaishia hapo kama kazi umuza lakini katika muziki iko tofauti kwa kuwa mtu unaweza kupata idea fupi tu isiyo na mambo mengi na kama msanii ukajipida na kukawekeza kwa studio kiasi kidogo ukilinganisha na mtaji wa kutengeneza movie na ukatengeneza ngoma kali sana na mwisho msanii ukaanza kungoja show na zinapokuja unakuta perfomance ni fupi lakini mapato ni makubwa.

Kitale ameyasema hayo kulingana na kuwa yeye ni msanii katika muziki pia ni muigizaji na hivyo yuko na uzoefu wa mapato katika tasnia.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa