Mwanzo » » MBALI NA UDOGO ALIONAO LAKINI HAPA YOUNG KILLER ALIKUWA MDOGO ZAIDI.

MBALI NA UDOGO ALIONAO LAKINI HAPA YOUNG KILLER ALIKUWA MDOGO ZAIDI.

Imewekwa ma Unknown siku Wednesday 29 January 2014 | 10:57

YOUNG KILLER WASASA

YOUNG KILLER ENZI ZA UTOTO ZAIDI


Rapper young Killer jana alipost picha hii ambayo inamuonyesha akiwa katika umri wa watoto kununuliwa soda na kisha ikapigwa picha kama kumbukumbu.

Haikujulikana kuwa ilikuwa ni picha ya mwaka gani lakini kwa hesabu ya haraka haraka ni miaka ya madarasa ya primary huko mwanza kwasababu katika historia fupi ya Young Killer hajawahi kuitembelea mikosa mingi hivyo imehisiwa kuwa ni jijini Mwanza.

Hakika ni picha ya kufurahisha sana kwa yeyote anayemjua Young Killer kwani kwasasa amekua kiasi kikubwa na nadhani sijui kama kipindi hicho cha picha hii alikuwa akijua kama kufikia umri alionao atakuwa na umaarufu kiasi alichonacho kwasasa.Watu tuantoka mbali sana na ndo maana tuna kila sababu ya kumshukuru mwenyezi mungu kwa kila hatua ya maisha.



Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa