Mwanzo » » MUIGIZAI WASTARA APATA KUMBATIO LA HUBA.

MUIGIZAI WASTARA APATA KUMBATIO LA HUBA.

Imewekwa ma Unknown siku Tuesday 28 January 2014 | 17:56

WASTARA JUMA
Muigizaji wa Bongo Movie aliyepata umaarufu katika tasnia hiyo kwa uwezo wake wa kuweza kutia huruma hasa anapopewa scene zile za maangaiko na mateso na aliyekuwa mke wa Marehemu muigizaji Sjuki(R.I.P) maarufu kama Wastara leo amestua mashabiki baada ya kupost picha akiwa ndani ya kumbatio la mwanaume na kuwaacha wadau midomo wazi na wasijue ni kitu gani kinaendelea katika yake na mwanaume huyo aliyekuwa kamkamatilia vilivyo.


Kilichozua maneno zaidi li maneno yaliyoambatanishwa katika picha hiyo akidai kuwa amemiss kumbatio la huba,akinukuliwa ''Nimemiss kumbatio la huba'' mwisho wa kunukuu, hayo ndio maneno yaliyokuwa katika picha ya yeye kuwa ndani ya kumbatio la mwanaume ambaye haikubainika kama ni mume mtarajiwa au ni katika utaratibu wa movie maana hawa wasanii wa Bongo movie wamekuwa wakitambilisha movie zao kwa style ya aina yake humu mitandaoni jamabo ambalo mwisho wa story unaweza kuambiwa kuwa ni movie mpya.

Kma ni movie basi itakuwa kali kwasababu ni muigizaji mahari sana katika sana hii na kama huyu aliyemkubatia ndiye mume mtarajiwa basi amepata mke mwema kwa maana huyu mwanadada katika ndoa hana makuu na ni mtulivi na mwenye mapenzi ya dhati kwa kiasi kikubwa sana.

Kuhusu kuwa ni movie au ndiye mume mtarajiwa hatujajua lakini kama kutatokea lolote atakalosema mwandada huyu kuhusu picha hiyo basi hatutasita kujuza kupitia hapa hapi so kwako kikubwa tu endelea kuwa nasi kwa habari moto moto na matumio ya burudani.

SHARE NA MARAFIKI SASA HII POST HUWE MIONGONI MWA WAJANJA.

Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa