Mwanzo » » YOUNG KILLER DARASANI TENA,MUZIKI BILA SHULE AMEKATAA.

YOUNG KILLER DARASANI TENA,MUZIKI BILA SHULE AMEKATAA.

Imewekwa ma Unknown siku Monday 27 January 2014 | 18:20

Young Killer Msodoki
Rapper mwenye mashabiki wengi wahaina tofauti aliyejizolea mashabiki mbalimbali kaisi cha kuwateka mpaka wazungu ambapo kuna kijana mzungu aliwahi kujieleza jinsi anavyomkubali Young Killer kupitia video aliyoipost youtube.

  Young Killer alipokuwa akihojiwa katika interviews zake toufauti na vyombo vya habari alikuwa akihaidi kurudi shule na kuweka wazi kuwa mbali na yeye kujikita katika muziki zaidi lakini bado katika maisha yake shule ina nafasi kubwa sana.

Katikati mwa mwaka jana Young Killer aliwataka wadau wamsupport ili aweze kurudi darasani jambo ambalo baadae lilipigiwa kimya na mwisho juma liliopita ameweza kujiunga katika chuo cha ''Green Pasture'' ambapo anachukua msomo ya ''Information Technology(IT)'' na leo kupitia account zake mtandao ya kijamii amepost picha inayomuonesha akiwa darasani yenye ujumbe ''am...back...class'' makini masomoni huku akiwa na headphone shingoni jambo linaloashiria kuwa mbali na kurudi masomoni lakini bado yuko karibu na muziki.

Hongera kwake na hili liwe somo kwa wasanii wengine ambao wameshajitoa katika suala la shule kuwa elimu haina mwisho hivyo wanawezakujiendeleza kama anavyofanya Young Killer kwasasa.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa