Mwanzo » » KUANZIA SASA JUAN MATA ATAVAA JEZI NAMBA 8 NA SIO NAMBA 7

KUANZIA SASA JUAN MATA ATAVAA JEZI NAMBA 8 NA SIO NAMBA 7

Imewekwa ma Unknown siku Monday 27 January 2014 | 17:17

JUAN MATA KATIKA UTAMBULISHO
Mchezaji Juan Mata ametangazwa Rasmi kuwa atakuwa akivaa jezi number 7 badala ya ile number 8 ambayo awali ilikuwa imepangwa.

Maamuzi hayo yameafikiwa baada ya kikao cha viongozi na waandishi wa na kumtambisha Rasmi mchezaji Juan Mata kuwa mchezaji wa club ya Manchester United na baada ya utambulisho huo mechi ya kwanza baada ya utambulisho huo itakuwa ni Manchester United dhidi ya Cardliff City.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa