Mwanzo » » AKOSANA NA FAMILIA BAADA YA KUZAGAA KWA HABARI ALIZODAI NI UONGO: LINEX MJEDA.

AKOSANA NA FAMILIA BAADA YA KUZAGAA KWA HABARI ALIZODAI NI UONGO: LINEX MJEDA.

Imewekwa ma Unknown siku Tuesday 18 February 2014 | 22:01

LINEX LINENGA
Msanii hitmaker wa ngoma kibao zikiwemo ''Moyo wa Subira'',''Mama Halima'' ,''Kimugina'' na nyinginezo nyingi alimaarufu kama Linex Mjeda amedai kukosana na familia na ndugu zake wa karibu pindi tu baada ya mitandao kuzagaza fununu za kuwa Linex anamahusiano ya kimapenzi na Agnes Masogange na kusambaza picha zao wakiwa katika pozi tofauti na huku Linex akiwa na Agnes Masogange  huku Agnes akiwa katika mavazi ya ufukwe na mwanadada huyo aliyewahikukutwa na skendo nzito ya uuzaji,usafirishaji na usambazaji wa madawa ya kulevya Agnes Masogange.
LINEX NA AGNES MASOGANGE


AGNES MASOGANGE


Kulingana na ambacho Linex amekutana nacho kipindi hicho cha usambazwaji wa habari amabazo yeye kama yeye alidai kuwa ni habari za uzushi tu na kusisitiza kuwa yeye na Agnes Masogange kuwa ni marafiki tu na hizo picha zilizokuwa zikisambazwa kwa habari ni kwamba ni kipindi ambacho walikuwa katika kuparty viwanja tofauti tu kama marafiki tu.

Leo Linex kupitia ukurasa wake wa Facebook alisititiza kuwa yeye na Agnes Masogange ni marafiki na kudai kuwa anatamani ndugu jamaa na marafiki waujue ukweli kwa kuwa uvumi wa yeye kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Agnes Masogange umemuweka katika wakati mgumu kwa kueleweka vibaya kwa watu wake wa karibu na pamoja na kuwekwa wazi kuwa ni marafiki tu na bado tu ilikuwa ni ngumu kwake kuelelweka hivyo...

HIKI AMEKIANDIKA LINEX KUHUSU KUTOKUWA NA MAHUSIANO NA AGNES MASOGANGE KUPTIA MTANDAO...

Mpaka sasa Agnes Masogange hajazungumza chochote kuhusu hili.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa