Mwanzo » » BABU AYUBU KURUDI NA STYLE ZA KUIGA SAUTI ZA MARAPPER WA BONGO.

BABU AYUBU KURUDI NA STYLE ZA KUIGA SAUTI ZA MARAPPER WA BONGO.

Imewekwa ma Unknown siku Tuesday 25 February 2014 | 21:49


Msanii na muigizaji ambaye amepata umaarufu wa kuigiza sauti za watu maarufu na alipata umaarufu zaidi alipoweza kuiga sauti ya marehemu mtangazaji Julius Nyaisanga na kujiibulia zaidi mashabiki katika ngoma za Joseph Haule a.k.a Professor Jay katika ngoma zilizokuwa zikiwalenga vingozi wenye ahadi za uongo zilizojulikana kama ''Ndio Mzee'' na ''Sio Mzee'' muite Mc Babu Ayubu.


Baada ya hayo na mengi yaliyompatia umaarufu Mc Babu Ayubu aliamua kuingia katika muziki aina ya Taarabu na kukaa kimya kwa muda mrefu bila kusikika na sasa amekuja na ngoma ngoma aliyofanya chini ya mtayarishaji Mr. T-Touch na ngoma inakwenda kwa jina SHIKAMOO PESA akiwa anamaanisha siku hizi pesa inanekana kusujudiwa na kuweka heshima ya kawaida pembeni na wasanii walioigizwa sauti ni Ney wa Mitego,Mr. Sugu,Mh. Temba,King Crazy Gk,Marehemu Bi. Kidude,Ispector Haroun,.

Akijitetea kuwa wasanii watakao maind yeye hana wasi wasi kabisa na kama ni kuigiza ni moja ya sanaa na kwa mujibu wa maelezo yake alimaanisha kuwa kama kuigiza sauti ni kitu rahisi basi na wao waigize.


DOWNLOAD HAPA CHINI...

Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa