Lakini pia A Y na Ally Kiba nao walipost picha za pamoja ambapo Ally alipost picha kisa kuandika @ +aytanzania . &007 #mj record #wait for it bongela wimbo ilimaanisha wazi kuwa ni collabo la pamoja na hii inatazamiwa kuwa kali sana kwakuwa wote ni wasanii wenye uwezo na ukizingatia pia Marco Chali wa MJ Rec ni mzuri katika utayarishaji so stay tune kupata mkwaju wa watatu hawa.
Playtech dan Masa Depan Industri Perjudian Online
-
Industri perjudian online telah mengalami pertumbuhan yang pesat selama
beberapa dekade terakhir, didorong oleh inovasi teknologi dan peningkatan
aksesib...
Post a Comment