Mwanzo » » NYOTA NDOGO AWACHANA CLONEL MUSTAFA NA HUDDAH MONROEKWA UCHAFU WAO.

NYOTA NDOGO AWACHANA CLONEL MUSTAFA NA HUDDAH MONROEKWA UCHAFU WAO.

Imewekwa ma Unknown siku Tuesday 25 February 2014 | 20:17


Baada ya picha za wawili Mwanamuziki Colonel Mustafa wa Kenya na mrembo aliyewahi shiriki Bigi Brother aliiiwakilisha Kenya Huddah Monroe waliokatika bahari ya mapenzi huku picha hizo hizo zikiwa na sura zenye mahaba nje nje hatimaye mwanmuziki toka Mombasa alimaarufu kama Nyota Ndogo awacha na kusema kuwa Mustafa anajishushia heshima.



'Unayoyafanya  unafikiria kuitwa baba kesho? maana ni upuuzimtupu'' alisema akimlenga Colonel Mustafa.

''umri wako hauambatani na vituko unavyo vifanya kwa hiyo rudi nyuma ubadilishe.shame on you. We hufai kuitwa kioo. Umeshindwa kuandika nyimbo kwa hiyo unaona bora utafute visanga? vinakupa sifa but unapata nini zaidi ya sifa hizo?hela kitandani''

''Huyu Mustafa hafai kuitwa kioo chajamii kabisa, umri wake na vituko vyake tafauti kabisa.uzee unaingia bado anafanya mambo ya kitoto. Shame'' Aliongeza

Lakini anachokisema Nyota ndogo ni kweli kutoka moyoni ila tu alionesh hisia tofauti upande wa pili kuhusu taarifa za Mustafa na Huddah kuja na wimbo wa pamoja na aliandika haya kupitia account yake ya twitter

''Can't wait for my song with @Mustafa_254 to land these streets it was a first for me. But in life everything is possible'' alitweet Nyota Ndogo.



Inaaminika yale yanayofanywa na Mustafa pamoja na Huddah ni kumuumiza Prezzo kwa kuwa awali Huddah alikuwa katika mahusiano ya kimapenzi na baada wakaachana na mwisho wakaachana na baadae ikawa ni kimya kimya then wakaamua kuweka wazi mahusiano yao lakini sasa wamezidisha kiasi ambacho Msanii Nyota ndogo kuamua kuongea yake ya moyoni.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa