Mwanzo » » DAKTARI BANDIA AKAMATWA AKITOA HUDUMA KATIKA HOSPTALI YA TAIFA YA MUHIMBILI.

DAKTARI BANDIA AKAMATWA AKITOA HUDUMA KATIKA HOSPTALI YA TAIFA YA MUHIMBILI.

Imewekwa ma Unknown siku Wednesday 26 February 2014 | 10:05

KITANO MUSTAFA 
Jana tarehe 25 Feb katika hospitali ya taifa ya Muhimbili kwa kushirikiana na kitengo cha usalama walimkamata mtu aliyetambulika kwa jina la Kitano Mustafa (51) aliyekuwa akijifanya ni Daktari hata kujifanya kutoa huduma ambapo imesemekana kuwa watu ambao hawakujua kuwa alikuwa ni muongo na walitaka awapatie huduma.


Kwamujibu wa msemaji wa Hospitali ya Muhimbili Aminieli Aligaesha amesema kuwa tukio la kufanana na hilo na tukio la Tatu kutokea mbali na kutokea katika Hospitali nyingine kubwa za serikali na baadhi ya watu wanaodelewa kutumia ngao ya Utabibu kutapeli watu jambo ambalo ni hatari sana kwakuwa mtu kama huyo anapotoa huduma kwa mtu bila kuwa naujuzi uliokubalika anaweza kumuhatarishi maisha mgonjwa.

Baada ya uchunguzi mtuhumiwa amekutwa na kadi tatu za kliniki na number za mawasiliano za madaktari na wauguzi katika hospitali hiyo ambapo imeonekana kuwa ni wazi alitambua kuwa kufanya hivyo ni kinyume na sheria na baada ya tukio la kukamatwa kwake ndugu Mustafa alikana kuhusika na utapeli huo kwa wagonjwa na kuwekwa msimamo wa kuwa hawezi kuongea chochote mpaka mwanasheria wake atakapo kuwepo.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa