Mwanzo » » QUICK ROCKER KUACHIA NGOMA YA LOVE ''PENZI'' COMING SOON.

QUICK ROCKER KUACHIA NGOMA YA LOVE ''PENZI'' COMING SOON.

Imewekwa ma Unknown siku Tuesday 11 February 2014 | 16:58

Cover ya Wimbo mpya ujao.

Kwa mara hii AM Rec inamleta kwenu msanii mwenye uwezo kama msanii katika muziki mwenye uwezo wa kuchana pia kuimba na mbali na hayo pia ni muandishi mzuri kwa nyimbo hapa Bongo,Baada ya kimya kirefu chake katika muziki wa Bongo kwa kupiga kimya bila ngoma yake kama yeye huku akiwa anaishia katika kufanya collabo za wasanii wanaolewa sna auwezo wake na sasa anakutanishwa na mbali mwenzake hapa anayezungumziwa ni mkali wa RnB Bongo ni wakuitwa Benard Paul a.k.a Ben Pol katika ngoma moja ya mapenzi itakayokwenda kwa jina''PENZI'' ''stay tune kupokea mkono huu mkali tokwa kwa Quick Rocker.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa