Mwanzo » » RAY C CHINI YA RUGE MTAHABA AMEKAMILISHA NYIMBO ZAIDI YA 10 NA MWEZI WA 3 MASHAMBULIZI YANAANZA.

RAY C CHINI YA RUGE MTAHABA AMEKAMILISHA NYIMBO ZAIDI YA 10 NA MWEZI WA 3 MASHAMBULIZI YANAANZA.

Imewekwa ma Unknown siku Thursday 27 February 2014 | 21:59

Ray C
Rehema Chalamila alimaarufu kama Ray C yuko katika mbio za kurudi kimuziki na sasa yuko chini ya usimamizi wa mkurugenzi wa kituo cha matangazo cha Clouds Media Ruge Mutahaba ambaye tangu awali kutoka awali kimuziki ndiye aliyekuwa msimamzi wa kazi zake.


Mpaka sasa yuko na nyimbo zaidi ya kumi na ambapo kazi ya kuandaa nyimbo hizo Rasmi zilianza mwezi wa kumi na moja mwaka jana na Ray C Faundation ni project ambayo hivi karibuni itakuwa ni kwa ajili ya kusaidia waathirika wa matumizi wa madawa ya kulevya na mpango huo utakuwa chini yake yeye mwenyewe.

Akizungumza ka uchungu alisema kuwa kwa jinsi anavyowachukia wauza madawa ya kulevya anatamani hata wapewe adhabu ya kuuwawa kwa kuwa wao wanaingiza kiasi cha pesa kutoka kwa watu ambao wanaathiriwa na madawa bila kujai madhara ya wanochokifanya.



Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa