Mwanzo » » TETEMESHA ENTERTAINMENT INAMLETA KWENU MSANII MPYA TOKA MWANZA.

TETEMESHA ENTERTAINMENT INAMLETA KWENU MSANII MPYA TOKA MWANZA.

Imewekwa ma Unknown siku Monday 24 February 2014 | 13:56

Barakah Da Prince
Ikiwa ni kimya cha mda mrefu bila kupakua muziki mzuri toka Tetemesha kumbe Kampuni hiyo ilikuwa katika mapishi ya kupika kazi nzuri kama ilivyo kawaida na baada ya mambo kukaa sawa sasa inamleta kwenu msanii ambaye wapo baadhi ya wadau wamesha bahatika kumsikia kwakuwa amesha record na studio kubwa kama Sharobaro Rec,Rock Town,Young Don na nyinginezo.

Moja ya kazi zilizoko njia toka Tetemesha Entertainment

Msanii anayekuja chini ya usimamizi wa Tetemesha Entertainment ni Barakah Da Prince ambaye kwasasa amekamilisha baadhi ya kazi na soon kazi hizo zitakuwa katika mitandao na vyombo vya habari na kwa mujibu wa C.E.O wa Kampuni hiyo KidBoy ni kuwa huyu Barakah Da Prince   ni zao jipya la Tetemesha Entertainment.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa