Mwanzo » » BELLE-9 ATUPWA NDANI BAADA YA KUJIHUSISHA NA UTAPELI.

BELLE-9 ATUPWA NDANI BAADA YA KUJIHUSISHA NA UTAPELI.

Imewekwa ma Click BongoTz siku Monday 24 March 2014 | 09:58

BELLE-9
Kwa habari zilizoko mtaani Inasemekana Eti Mwanzoni mwa mwezi huu mkali wa RnB Belle 9 nusura ainuse jela baada ya kuchukua pesa za mapromota wawili wa Mafinga Iringa ambapo walikua wanashow katika weekend moja na Belle 9 akaamua kutumbuiza show moja na kumtosa promota mmoja kwa madai kuwa anatakiwa kuendelea kui promote show hiyo, sasa promota aliyetoswa hakujua kama Belle 9 atakuja kuperform katika mji wake lakini alipokuja kushtukia ndio akaamua kwenda katika ukumbi huo Belle 9 alipomaliza kutumbuiza wakamkamata na kumpeleka kituo cha polisi ndo ikaamuliwa kuwa kesho yake Belle 9 apige show ili kuepuka utata huo,
skiza You Heard Ilivyokua kwenye XXL ya Clouds fm - 

Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa