Imekuwa ikizoeleka kuwa mwenye jukumu la kubeba mtoto mgogoni sio mwanaume lakini hilo liko tofauti kwa msanii H-Baba na katika kusho love kwa mtoto wake na familia yake ametokea akiwa kabeba mtoto mgongoni.
H.Baba akiwa amembeba mgongoni mwanae Tanzanite “Namsaidia mke wangu kulea hiyo ni kawaida yangu,” H.Baba ameiambia Bongo5. “Tunasaidiana na wife aingie jikoni, nambembeleza mtoto mpaka analala. Ndo malezi bora kwa mtoto. Kama baba wa familia yangu nampenda mwanangu sana, pia mke wangu ndio roho yangu.”
Tanzanite akiwa amepitiwa usingizi kwenye mgongo wa baba yake
Post a Comment