Mwanzo » » HAWA NI WATU MAARUFU BONGO WANAOENDESHA MAHUSIANO YAO KIMAPENZI NA WATU WASIOJULIKANA.

HAWA NI WATU MAARUFU BONGO WANAOENDESHA MAHUSIANO YAO KIMAPENZI NA WATU WASIOJULIKANA.

Imewekwa ma Unknown siku Tuesday 8 April 2014 | 17:09

1. Martin Kadinda 
Ni mwanamitindo maarufu apa bongo, na anayefanya vizuri kwenye tasnia hiyo, pia ni manager wa wema sepetu. Huyu amekuwa akipiga picha na warembo tofauti tofauti , ila haijawahi kuripotiwa popote mrembo anayetoka nae ata kwa kupakaziwa. 
 
2. Salama Jabir 
Huyu ni mtangazaji wa mkasi TV show, mbali na muonekano wake wa kuvutia ila hadi Leo haijawahi kuripotiwa mtu anayemmliki hata kwa kusingiziwa.  
 
3.Ben Pol 
mwanamuziki classic wa bongo fleva, achilia mbali muonekano wake wa kuvutia , naye mpaka Leo mpenzi wake hajulikani, na wala haijawahi kuripotiwa popote kama ana mpenzi au la. 
 
4. DJ Fettty 
Huyu ni mtangazaji wa clouds FM, ana sura na umbo la kuvutia , ila hadi Leo haijulikani mtu anayekula mzigo nani, japo kwa kusingiziwa 
5.Millard Ayyo 
Mtangazaji machachari kutoka clouds FM, pamoja na utanashati wake ila haijawahi kuripotiwa popote kama yupo kwenye mahusiano na haijulikani mpenzi wake ni nani 
 
6. B 12 
Huyu kama ilivyo kwa Millard, hajawahi kuhusishwa na scandal yeyote ya kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi, haijulikani kama yupo au la. 
 
7. Adam Mchonvu 
huyu pia hajawahi kusikika au kuhusishwa na mahusiano ya aina yeyote. 
 
8.Ally Rehmtulah 
Mbunifu wa mavazi, naye huyu hajawahi kuhusishwa na wala haijuilikani kama ana mpenzi au la.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa