Wasanii kutoWasanii katika nchi zaidi ya 19 barani Afrika walioshiriki katika kutengeneza wimbo kwa ajili ya kampeni ya kuwasukuma viongozi kutumia asilimia 10 ya bajeti ya taifa katika maswala ya kilimo "Cocoa na Chocolate" wamezindua wimbo huo katika vituo mbali mbali vya radio Lagos nchini Nigeria.
Mwanamuziki kutoka South Africa anaefanya sana R&B, Vusinova.
Dontom kutoka Nigeria lakini makazi yake ni Paris,Ufaransa.
Post a Comment