Mwanzo » » NANDO WA BIG BROTHER ASHIRIKI KAMA MPAMBE SIKU WEMA ANAKIWASHA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHA... CHECK HAPA.

NANDO WA BIG BROTHER ASHIRIKI KAMA MPAMBE SIKU WEMA ANAKIWASHA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHA... CHECK HAPA.

Imewekwa ma Unknown siku Thursday 3 April 2014 | 11:25

Siku Wema Alipoenda kufanya Timbwili kwenye Ofisi za Magazeti Maarufu Bongo Global Publishers Aliongozana nAa Baadhi ya Wapambe wake Ambao mmoja wapo alikuwa ni Mshiriki wa Big Brother Africa Aliyeiwakilisha Bongo Mwaka Jana anayejulikana kama Ammy Nando ...Kama anavyoonekana kwenye picha hapo alikuwa anajificha asipigwe picha na waandishi habari nje za ofisi za Global Publishers....Najiuliza na yeye Amefuata mkumbo wa Kina Petit na Martin Kadinda ?
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa