Mwanzo » » BREAKING NEWS:HUKUMU YA KAJALA MASANJA NI NOBEMBA 25 MWAKA HUU(2013)

BREAKING NEWS:HUKUMU YA KAJALA MASANJA NI NOBEMBA 25 MWAKA HUU(2013)

Imewekwa ma Unknown siku Monday 18 November 2013 | 15:11

KAJALA MSANJA

Msanii wa filamu Tanzania maarufu kama Bongo movie Kajala Masanja 'Kajala' ambaye anakabiliwa na mashtaka ya uhamishi wa umiliki wa nyumba na utakatishaji wa fedha leo imepigwa tarehe baada ya mumewe kukata rufaa,ambapo leo ilikuwa ni siku ya hukumu na hukumu kuhailishwa baada ya haikmu aliyekuwa ahukumu kesi hiyo kupata hudhuru na kesi hiyo kupigwa tare 22 Novemba siku ambayo ndio hukumu itatolewa.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa