Mwanzo » » MABESTE: HERMY B KANISHUSHIA HESHIMA,NA HIZI NDIO SABABU BAADHI ZA MIMI KUJIONDOA B' HITS

MABESTE: HERMY B KANISHUSHIA HESHIMA,NA HIZI NDIO SABABU BAADHI ZA MIMI KUJIONDOA B' HITS

Imewekwa ma Unknown siku Thursday 21 November 2013 | 23:42

MABESTE
 Rapper Mabeste ameondoa ukimya kupitia ukurasa wake wa facebook baada ya taarifa kupitia vyombo vya habari ambavyo Hermy B alipata nafasi kuzungumza na kusema kuwa yeye ndiye anayemlipia pango na kumvisha Mabeste na mengne mengi amabayo Mabeste amekanusha kuwa ni uongo kuwa sio habari za kweke na kuwaahidi mashabiki wake kuwa kupitia media atafunguka ukweli kuhsu kilicho muondoa B' Hits ambapo kupitia ukurasa wake wa facebook amebainisha baadhi ya mabo yaliyopelekea yeye kujiondoa B' Hits.
HIKI NDICHO ALICHOKIPOST MABESTE KUHSU UKWELI WA YEYE KUJIONDOA B' HITS

Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa