Mwanzo » » MSANII Q CHILLAH ASEMA WASANII WAMECHANGIA HUKUMU YA PAPI KOCHA KOCHA NA BABI SEYA

MSANII Q CHILLAH ASEMA WASANII WAMECHANGIA HUKUMU YA PAPI KOCHA KOCHA NA BABI SEYA

Imewekwa ma Unknown siku Thursday 21 November 2013 | 14:48

Q CHILLAH
Msanii Q Chllah ameyasema hayo baaya ya hukumu ya wasanii Papii Kocha na baba yake mzazi kuendelea kutumikia kifungo cha maisha baaya ya kushindwa tena baada ya rufaa yao kukataliwa na kusema pengine kama wangeshikiriana kusema chochete labda kunachochote cha tofauti kingetokea kubadilisha natokeo ya wsanii Papii Kocha na Babu Seya kuendelea kutumikia kifungo cha masiha.


''Wameshindwa,wamekaa tu kufanya kazi zao za kujipromote wao,this is very stupid'' amesema Q CHILLAH.

''Kauli yao tu ni faraja kwa hawa jamaa wangeona kuna watu kule nje hata kama hawana uwezo wa kututoa na kuiambia serikali itutoe,kwamba kuna watu wako touched na hii issue. Always wanasubiri mu afe au jambo hili litokee ndo wajitokeze wzungumze.Nahisi kila mtu anaishi kwasababu anafanya kazi zake na afulfill dreams zake ,but we are not there for other people who need hata kauli zetu. Ukizungumza unaonekana una stress ila Mungu ana sheria zake na Serikali ina Sheria zake snakubaliana na hilo''
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa