Mwanzo » » PICHA ZA MATUKIO YA KILICHOJILI KATIKA 40 YA ALBERT MANGWEAR

PICHA ZA MATUKIO YA KILICHOJILI KATIKA 40 YA ALBERT MANGWEAR

Imewekwa ma Unknown siku Monday 18 November 2013 | 09:36

Ameacha pengo kubwa ambalo halitazikbika kwani alikuwa ni mvhanggo mkubwa katika sanaa ya muzkiki wa bongo ALBERT MANGWEAR alifariki akiwa katika maangaiko ya maisha huko nchini Afrika Kusini na ibada ya kuhitimisha msiba wake yaani 40 amefanyika Morogoro mbali na kuwa yeye alizaliwa Songea ambapo wazazi walikuwa wakiishi kabla ya kuamia mjini Morogoro.

Picha ya Kaburi  la Ngwaer kwa mbele.

waliuzuria wengi kushirikia na familia katika hitima hiyo


kuhitimisha ibada

walikusanyika katika kabuli la mpendwa Albert Mangwear

waliompenda ni wengi na idadi ilikuwa ni kubwa katika eneo la makabuli

Kwa unyeyekevu na utuliva sala iliendelea eneo la kabuli la Albert Mangwear


wasanii wakitoa heshima kwa sala

Mama mzazi wake na Albert Mangwear akiweka shada la maua

Mtangzaji BDoze akiwasha mashumaa

Rapper Young D akiwasha mashumaa

Dark Master akitoa heshima katika kabuli la aliyekuwa mwanachemba wenzake Albert Magwear

Nyumbani kwa Albert Mangwear

Nyumbani wakiomboleza huku nyimbo za Albert Magwear zikiendelea kuchezwa kama ishara ya kukumbuku



Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa