Mwanzo » » SHILOLE UREMBO WAKE HAUAMISHIA KATIKA VICHEKESHO

SHILOLE UREMBO WAKE HAUAMISHIA KATIKA VICHEKESHO

Imewekwa ma Unknown siku Saturday 30 November 2013 | 13:36

SHISHI BABY ''SHILOLE''
Mamaa wa viuno Binti mrembo anayetamba kwa ngoma yake mpya NAKOMAA NA JIJI aliyofanya chini ya mkali wa vichupa kwasasa Nisher muite Shishi Baby au Shilole ameamua kuamia katika movie upande wa vichekesho(Serious Comedy).

Mamaa wa mauno huyo Shilole ameamua kufanya comedy kama moja ya njia ya kuimarisha sanaa yake na kujizolea mashabiki wa kila aina baada ya kuwa amepata mashabiki kibao katika jukwaa kwani akiwa jukwaani anakomaa na kiuno chake kuwapa raha mashabiki audhuriapo shows zake.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa