Mwanzo » » BOW WOW AKANUSHA UVUMI WA YEYE KUFUKUZWA KAZI KATIKA KIPINDI CHA 106&PARK.

BOW WOW AKANUSHA UVUMI WA YEYE KUFUKUZWA KAZI KATIKA KIPINDI CHA 106&PARK.

Imewekwa ma Unknown siku Friday 24 January 2014 | 10:29

BOW WOW
Msanii wa rap nchini marekani rapper Shad Gregory Moss maarufu kama BOW WOW aliyechini ya label kubwa ya YOUNG MONEY CASH MONEY BROTHERS(YMCMB) ambaye amewahi kukumbana na kashfa ya kuwa shoga baada ya kipindi flan account yake ya Twitter kupost picha iliyokuwa ikionesha kama BOW WOW alionekana kalalia mwanaume mgongoni stories zilizoisha kimya kimya lakini gunzo lile lilimchafua sana kwasababu picha ile ilionesha wazi wazi kuwa kuna ushoga ulikuwa ukiendelea kati yake na mwanume yule aliyekuwa amelaliwa.

Hii ndio picha ambayo iliwahi kumzushia taarifa za kuwe yeye ni shoga.


BOW WOW alimeonekana zaidi kujikita katika utangazaji zaidi kuliko muziki baada ya jana tu kusambaa kwa taarifa za kuwa kafukuzwa kazi kosa la kufuja pesa katika kampuni na ambapo zilisha zagaa taarifa kuwa amefukuzwa kazi na hatuta mshuhudia tena akihost show ya 106&Park inayorushwa kupitia kituo cha kimataifa cha burudani cha BET.


Hiki ndicho alichokiabdika kupitia kukurasa wake wa FACEBOOK,Akikanusha...




Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa