Mwanzo » » D' MIKE AWACHANA WASIOJUA KUTUMIA MITANDAO NA WASIOJIHESHIMU.

D' MIKE AWACHANA WASIOJUA KUTUMIA MITANDAO NA WASIOJIHESHIMU.

Imewekwa ma Unknown siku Saturday 25 January 2014 | 13:34

D' MIKE

Rapper toka nchini Tanzania mwenye makazi yake nchini kenya anayetamb ana ngoma kadha pamoja na LIFE SO HARD Ft SAPPY na ile aliyotangaza kumsaka mchumba kupitia wimbo huo  iliyokwenda kwa jina la ''NINAYE MTAKA Ft LV DASH toka kenya zote zikiwa ni chini ya utayarishaji wa homeboyz production inayofanya vizuri nchini Kenya amewachana wale wanokurupuka na kuweka wazi wazi mambo yao ya siri mtandaoni na kuhapa kutowaheshimu hata kidogo.

Hayo ameyasema kupitia account yake ya facebook...soma alichokiandika hapo chini...



Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa