Mwanzo » » RICK ROSS THE BOSS ANUNUA JUMBA LA KIFAHARI LENYE VYUMBA ZAIDI YA 100.

RICK ROSS THE BOSS ANUNUA JUMBA LA KIFAHARI LENYE VYUMBA ZAIDI YA 100.

Imewekwa ma Unknown siku Tuesday 28 January 2014 | 10:38

RICK ROSS
Rapper toka marekani amemimina mkwanja mrefu ambao ni mamilioni ya dola za kimarekani kununua jumba la kifahari lenye vyumba 109 kwa ajili ya makazi yake na watu wake wa karibu jengo ambalo kwa mtazamo wa haraka haraka kibongo bongo ni Hotel kubwa ya kifahari ambao gharama zake kwa mtu wa kawaida kimaisha hawezi kuzimudu.


Jengo hilo lililoko Atlanta Georgia jengo ambalo kabla ya kuingia mikononi mwa Rapper Rick Ross awali lilimilikiwa na Bondia Evender Holyfield ambaye ameamisha makazi yake.



Mansion hiyo yenye ukubwa wa 54,000 square feet na yenye kila kitu ambacho kama mwadamu mpenda maendeleo ungependa nyumba yko iwe na vitu hivyo ikiwa ni pamoja na swimming Pool kubwa tu,Home movie theatre,uwanja wa Basketball,Dinning room yenye uwezo wa kuchuku watu 100 kwa pamoja.




Haikuwekwa wazi kuwa nikiasi gani kimetumika kununua Mansion hiyo lakini mapema mwaka jana Evender alitangza kuweka jengo hilo sokoni na kutaja Dola million 14 kama bei ya kununua.



Na inasemekana gharama za kuendesha jengo hilo kwa mwaka haipungui dola million 1,pamoja na Bill za umeme kama matumizi ni ya kawaida ni $$ 17,000.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa