Mwanzo » » BAADHI YA BONGO MOVIE DIRECTORS PUMBAVU KWELI.

BAADHI YA BONGO MOVIE DIRECTORS PUMBAVU KWELI.

Imewekwa ma Unknown siku Tuesday 11 February 2014 | 22:56


Hawa madirector wa kibongo pumbavu kweli...yaani Eti kipande kinachezwa ikiwa idea ni kuhusu mimba na kijana anamwambia binti mimba aitoe ila cha kushangaza hilo jambo wanaliogea wakiwa Bar ambako wako na mkusanyiko wa watu na kijana anamwambia Binti kwa sauti ya juu kuwa haende akaiteo la sivyo wanaachana na Binti anakubali kuitoa huku maongezi yako yakiwa ni kwa sauti ya juu kana kwamba suala la kutoa mimba ni kama jambo la kawaida.

Hii ni moja ya matokeo ya watu wanaokurupuka na kujiita wasanii na madirector katika tasnia hii ya Movie Kibongo Bongo na jambo lingine ambalo limekuwa ni tatizo katika tasnia ni kukosa kuchukua watu wenye vipaji na kisomo angalau wao wanakimbilia wadada wenye maumbo na rangi zenye mvuto bila kujali uwezo.


Hapa kwa mwend wa namna hii katika tasnia hakuna njia za kwenda kimataifa kwasababu hali hii kwa wenzetu wanaojua tasnia na vigezo vizuri kuhusu sanaa watatudharau kwa sababu ya baadhi tu ya watu wanaojiita madirector na mwisho wantengenezamovie zenye dosari kibao bila kujali maadaili na madhara yatakayojitokeza katikajamii ikiwa jicho lao ni pesa tu.

ONYO: HII NI KWA WALE WENYE KUKURUPUKA NA KUINGIA KATIKA TASNIA INAYOZUNGUMZIWA BILA KUJIPANGA NA MWISHO TANZANIA INADHARAULIKA.

NI DARASA TU NA SIO KWA CHUKI WA LA UBAYA NA MTU YEYOTE.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa