|
BEN POL JOH MAKINI |
Ngoma inakwenga kwa jina ''WANICHORA'' inayozungumzia maisha ya mapenzi ambayo mpenzi anaweza uwa akikuzunguka baada ya kuwa akiwasikiliza wale wabaya wenu katika mahusiano yenu na mbali wao kusema mengi mabaya kuhusu maisha yenu ya kimapenzi lakini bado mpenzi wako anakuwa mtu wa kuwa karibu ambapo inakuja maana ya Ben Pol n Joh Makini Pamoja na mtayarishaji mwenyewe na ngoma hiyo kukuletea idea ya wanichora.
ENJOY GOOD MUSIC NA
CLICK HAPA KUDOWNLOAD NA KUSIKILIZA
Post a Comment