Mwanzo » » OSTAZ JUMA NA MSOMA AZUNGUMZA BAADA YA WADAU KUDAI KUWA AMEMDHALILISHA PNC.

OSTAZ JUMA NA MSOMA AZUNGUMZA BAADA YA WADAU KUDAI KUWA AMEMDHALILISHA PNC.

Imewekwa ma Unknown siku Wednesday 26 February 2014 | 19:23


Akizungumza kwa kujiamini Ostaz Juma amesema kuwa yeye haoni kama kupiga magoti kwa msanii PNC kwake akiomba msamaha kwakuwa msanii huyo anajua anapata nini kutoka kwake lakini sio udhalilishaji na amesema kuwa hayuko tayari kumsamehe PNC kwalolote mpaka atakapo waomba radhi wadau wa muziki kwa makosa ambayo aliyafanya ya kuzungumza vibaya katika vyombo vya habari na kumsema vibaya Ostaz na sehemu pekee ya yeye kuomba radhi hiyo ni kupitia vyombo vya habari.


Ostaz Juma akiongeza amesema kuwa mtu anapokuwa anaomba msamaha anaweza kuomba kwa njia yoyote na njia aliyoitumia PNC ni kwa kupiga magoti hivyo sio mbaya na hiyo ni kwakuwa najua ni huduma gani yeye uzipata akiwa chini ya management yangu na ndo maani walio muona wameona kama nikumdhalilisha lakini hawajui ni matatizo gani tunayapitia tunapokuwa tukiwashika wasanii kama hawa.


Akizungumzia kuwa na wasanii watakao kuwa chini ya usimamizi wake ni kuwa hataki msanii yeyote na haijalishi kama msanii ni mkubwa kisanaa wala kiumbo na hwa awe mdogo kiumbo kwakuwa kuwa na wasanii katika usimamizi ni usumbufu na ni stress sana.


MSIKILIZE OSTAZ AKIFUNGUKA.

Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa