Mwanzo » » YOUNG KILLAH MSODOKI AVULIWA NGUO JIJINI MWANZA.

YOUNG KILLAH MSODOKI AVULIWA NGUO JIJINI MWANZA.

Imewekwa ma Unknown siku Monday 17 February 2014 | 20:43

Young Killer
Msanii mwenye masabiki wengi kuliko baadhi ya wasanii wachanga waliochipuka hivi karibuni yaani mwanzoni mwa mwaka wa 2012 Erick Msodoki alimaarufu kama Young Killah Msodoki anayewakilisha jiji la Mwanza hivi kabiruni alipatwa na mkasa wa kuvuliwa nguo yake aliyokuwa akiipenda sana kwa mujibu wa madai yake.


Akiwa jijina Mwanza katikati mwa week hii Young Killah alisafiri kuelekea jiji la Mwanza ambapo katika pita pita zake alikutana na tukio la kuvuliwa nguo iliyokuwa na nakshi ya rangi za Jeshi la Ulinzi la Tanzania baada ya kupitia katika mojawapo ya Kambi za Jeshi la polisi linalopatikana katika Jiji la Mwanza.

Baada ya tukio hilo la kuvuliwa nguo kwa Young Killah Msodoki basi hiki ndicho alichopost kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii ukiwepo ule wa Facebook na ule mtandao wa picha Instagram na hiki ndicho alichokipost...


Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa