Baada ya kumalizana kimkataba kati ya M-Rap na record label ya B-Hits chini ya Pancho Latino na Herm B sasa rapper M-Rap amekuwa huru na ngoma yake ya kwanza kusikika kutoka kwake itakwenda kwa jina ''USIENDE MBALI'' nagoma ambayo amemshirikisha mkali wa hit Juma Jux ambapo mkwajuu umefanyika chini ya Studio za AM Rec na mtayarishaji sio Manecky bali ni mdogo wake na Manecky anajulikana kama Bob Manecky ambaye pia ni mkali wa touch kwakuwa amehusika kinoma noma kuandaa ngoma mpya ka mkali Jux inayokwenda kwa jna ''NITASUBIRI'' Hiyo kupitia mitandao na interviews kadhaa anazofanya M-Rap Lion anawasihi wada wa muziki wa kizazi kipya kuwait for this HIT TRACK(USIENDE MBALI) Ft. JUX).
wing888 slot เกมสล็อตแตกง่าย บริการไวปลอดภัยสูง
-
wing888 slot คือชื่อที่ถูกพูดถึงอย่างต่อเนื่องในกลุ่มผู้ชื่นชอบเกมออนไลน์
เพราะที่นี่ให้ความรู้สึกมั่นคงตั้งแต่แรกเข้า
พร้อมด้วยระบบที่เสถียรตอบสนองไวต่อกา...

Post a Comment