Mwanzo » » KUWA MAKINI NA WEZI HAWA WANAOTUMIA JINA LA KALA JEREMIAH.

KUWA MAKINI NA WEZI HAWA WANAOTUMIA JINA LA KALA JEREMIAH.

Imewekwa ma Unknown siku Saturday 8 March 2014 | 13:59


Msanii Kala Jeremiah mnamo mwaka jana alitoa taarifa ya kuwa ukurasa wake umeibiwa na mara kadhaa mpaka mwanzoni mwa mwaka huu baada ya kuanza kutoa taarifa ambazo Kala hazijui na wezi hao wao wakiwa ni watoataarifa kuwa wnatoa mikopo na kusemekana kuwa zile taarifa za utoaji wa mikopo ni wizi kwakuwa wapo waliokwishaibiwa.


Kwa wale ambao hamjasanuka na hili ukweli ni kuwa ukurasa huo hauko chini ya Kala bai uko chini ya wezi waliouiba na kusamabaza taarifa zao za kitapeli hivyo kuwa makini na taarifa zinazotolewa kupitia ukurasa huo usije kuibiwa.

Hii ndio sura ya ukurasa wa wezi wanautumia ukurasa ambao aliufungua Kala a baadae kuachana ao baada ya kuwa umeibiwa.

Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa