Mwanzo » » MUIGIZAJI JAQUE PENTZEL AWASHANGAZA WADAU KWA KUFANYA HIKI WAZI WAZI.

MUIGIZAJI JAQUE PENTZEL AWASHANGAZA WADAU KWA KUFANYA HIKI WAZI WAZI.

Imewekwa ma Click BongoTz siku Monday 24 March 2014 | 23:38


Star wa bongo movie Jacque Steven Pentzel amewashangaza watu wengi kwa kutimiza mwaka mmoja wa ndoa yake ikiwa ni tofauti na mtazamo wa watu waliokua wakidhani ndoa iyo aitodumu ata miez mitatu, hatimae Tarehe 22 mwezi huu Jacque Pentzel ametimiza mwaka mmoja (Annivesarry) ya ndoa yake na mumewe Gadner Dibibi.
Jacque aliandika kwenye ukurasa wake wa Instagram kuwa "Namshukuru Allah kwa kuniwezesha kufikisha mwaka mmoja wa ndoa yangu na mume wangu kipenzi Bw. Gadner Dibibi, tumepitia mengi lakini Inshallah tunavumiliana"
Jacque alifunga ndoa mwaka jana Tarehe 22, March kwenye msikiti wa Magomeni Makuti na kubadili dini kuwa Muislam na hivi sasa anatambulika kwa jina la Kauthar Dibibi.






Jacque Pentzel akiwa na Mumewe Gadner Dibibi siku walipofunga ndoa.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa