Mwanzo »
» RAPPER BENZINO APIGWA RISASI NA MPWA WAKE.
|
Benzino |
Rapper wa Marekani Benzino apigwa risasa na mpwa wake Gai Scotti ikiwa kinachotajwa mpaka kupigwa risasi ni ugomvi wa kifamilia kati yao.
|
Rapper Benzino akiwa hospitali na matibabu yakiendelea. |
Kwa mujibu wa vyombo toka Marekani na kwamba rapper huyu Benzino ambaye ni Star wa Love and hip hop na aliyekuwa mmiliki wa jarida la zamani la The Sources alikuwa ndani ya gari tayari kuelekea katika mazishi ya mama yake na Gai Scotti akiwa amesimama nje ya gari alililenga Gari la Benzino na kulimimia risasa zilizompata Benzino na walioweza kufika walimsaidia kumpeleka hospitali na kwasasa anaendelea vizuri.
Post a Comment