Mwanzo » » DIAMOND CHINI NIGERIA AINGIA MKATABA NA KAMPUNI YA SIMU YA MTN KUUZA ''MY NUMBER ONE REMIX'' KATIKA CALLETUNE.

DIAMOND CHINI NIGERIA AINGIA MKATABA NA KAMPUNI YA SIMU YA MTN KUUZA ''MY NUMBER ONE REMIX'' KATIKA CALLETUNE.

Imewekwa ma Unknown siku Monday 31 March 2014 | 12:38


Msanii Diamond Platnumz kama lilivyo lengo lake la kuiwakilisha vizuri nchi yake,Afrika Mashariki na Afrika nzima kwa ujumla katika game la muziki wa kizazi kipya sasa inaonekana anaweza kufanikiwa hilo kwasababau kwa mujibu wa Diamond mwenye alidai kupokea simu nyingi na mikataba mingi kutoka kwa makampuni ya simu kutoka maeneo tofauti ndani na nje ya nchi wakimtaka waingie makubaliano ya kuuza wimbo wa ''My numbey one remix'' aliyomshirikisha Davido na bila kuwa na papara sana alikaa na kuamua deal hilo kubwa ambalo litawapa pesa za kutosha wamiliki wa mitandao na Diamond Platnumz mwenye kwa kuwa ngoma hiyo imepata umaarufu mkubwa zaidi na ameamua akuingia mkataba mkubwa na kampuni kubya wa mawasiliano wa simu nchini Nigeria wa MTN kuuza wimbo wa My number One Remix katika Callertune(Miito ya simu).

Ikimbukwe kuwa mara baada ya ''My number one  Original'' kutoka aliingia mkataba mkubwa na kampuni ya siimu ya Vodacom ambayo inasemekana alilipwa vizuri na anaweza kukubaliana na wadau kuwa kati ya ngoma zake zote hakuna ngoma iliyompa mkwanja mrefu zaidi kama ngoma hii ya ''My Number One''
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa