Mwanzo » » TREY SONGZ ASEMA HABARI ZA YEYE KUWA NI ''GAY'' NI HABARI ZA KUTENGENEZA TU.

TREY SONGZ ASEMA HABARI ZA YEYE KUWA NI ''GAY'' NI HABARI ZA KUTENGENEZA TU.

Imewekwa ma Unknown siku Monday 31 March 2014 | 21:35



March 25, ilisambaa picha ya tweet inayoonesha kuwa wamei-screenshot kutoka kwenye akaunti ya mwimbaji wa R&B, Trey Songz na kuonesha amejitangaza kuwa yeye ni shoga.

“I think it’s time to finally tell my fans. All games and jokes aside…I’m gay.” Ilisomeka picha ya tweet hiyo.

Hata hivyo, mwimbaji huyo aliikana tweet hiyo mapema asubuhi na kuonesha kuchukizwa kwake na kitendo kilichofanywa na watu ambao wanaonekana walitumia teknolojia ya kuchezea picha maarufu kama Photoshop na kuichora tweet hiyo.

Trey Songz alionesha masikitiko yake kwa tweets tatu zilizofuatana.

“The things you people craft up with hatred in your hearts. The things people believe without question, or validity, all baffles me.

“Photoshop and a retweet is all people need to believe, any and everything. I feel bad for the impressionable, no minds of their own.

“If I’m gay then Tupac bringing me a ounce for this session wit Biggie tomorrow. No weapon. #LOVE.”
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa