Mwanzo »
» PNC BAADA YA KUPATA LABEL MPYA AMPELEKA OSTAZ JUMA MAHAKAMANI.
Msanii wa muziki wa bongo fleva PNC miezi kadhaa kutokana na kile kilichotajwa kama kudhalilishwa vya kutosha na Ostaz Juma kupitia mitandao ya kijamii kwa kupost picha zilizokuwa zikimuonesha akiomba msamaha kwa Ostaz sasa mambo yaja kinyume na maji yamfika shingoni Ostaz Juma.
Ikiwa leo ni siku ya wajinga Dunia tunafurahi sana kwa wewe kutembelea blog yetu na kama umepatwa kuwa miongoni mwa walioingia box ya kudanyanywa basi share na washikaji wenzako nao wapatikane.
Kuwa na siku njema na endelea kutembele blog yute-ASANTE.
Post a Comment