MO-MUSIC |
MO-MUSIC ni Msanii mpya wa muziki wa Bongo Fleva toka jiji la Mwanza ambaye kwa kila anayeujua muziki na kupata bahati ya kumsikia ameshakiri kuwa kijana anayestahiri kuitwa mkali miongoni mwa wakali wanaofanya muziki Bongo.
Ni mwishoni mwa mwaka jana wa 2013 na mapema mwanzoni mwa mwaka huu amegundulika kuwa na uwezo huo kimuziki mara baada ya kuiachia ngoma yake rasmi inayokwenda kwa jina ''BASI NENDA'' iliyotayarishwa jijini mwanza chini ya studio inayujulikana kama K-Rec na mtayarishaji akiwa ni Lolpop a.k.a Lol Pipi a.k.a Loly Mwaaaaah na ngoma hivyo kuwa tishio kwa kuwateka akina dada na wamama na baadhi ya vijana wapenda muziki soft wa bongo fleva.
Post a Comment