|
GENTRIEZ MWAKITABU |
Rapper anayetamba na ngoma kama ARUSHA Boy ngoma inayomtanzaga kama rapper toka Arusha na mwisho akatoka na bidhaa ya mavazi kama t-shirt na vitop kwa akina dada wanavyowakilisha ARUSHA BOYS na ARUSHA GIRLS,ameskikitika leo asubuhi kumpoteza mama yake mzazi aliyefariki huko Arusha na ametoa taarifa kuwa msiba uko ARUSHA hivyo ni vyema watakao weza kufika kumfariji mwenzetu katika kipindi hiki kigumu kwa GENTRIES MWAKITABU.
|
MAMA ENZI ZA UHAI WAKE.
R.I.P MAMA |
Post a Comment