Mwanzo » » HUDDAH MONROE ASEMA ATAWALIPA WAMILIKIWA MTANDAO WA GOOGLE WAFUTE PICHA ZAKE ZOTE MBAYA.

HUDDAH MONROE ASEMA ATAWALIPA WAMILIKIWA MTANDAO WA GOOGLE WAFUTE PICHA ZAKE ZOTE MBAYA.

Imewekwa ma Unknown siku Friday 28 February 2014 | 13:34


Star wa kike huyu wa kenya Akizungumza hivi karibuni kupitia kituo kimoja cha television Huddah ameyasema hayo baada ya mtangazaji kumuuliza ni kipi atafanya kwa ajili ya kujipatia heshima yake kama mama kwa watoto ili wasione zile picha chafu zinazo zagaa mtandaoni.


Akijaribu kujitetea mbele ya camera za Tv aisema uwa zipo pich ambaya ambazo yeye akama yeye hakuzipiga ila tu ni editing za mabloggers wanazofanya kwa ajili ya kumchafulia tu lakini akasahau kkuwa zipo picha ambazo yeye uzipost kupitia ukurasa wake wa instagram ambao umejaa picha kibao ambazo ndizo baadhi ya mabloggers utumia katikahabari zao.

Hata hivyo katika kipimo cha maneno aliyokuwa akiyazungumza ilionekana kuwa wengine wanamuharibia kwa Prezzo kwakuwa kwasasa yuko katika na msanii Colonel Mustafa ambaye alikuwa naye katika kipindi hicho cha mahojiano na waliweka wazi mahusiano yao pale pale katika mahojiano.

BAADHI YA PICHA MBAYA ZA HUDDAH AMBAZO AMESEMA ATAWALIPAGOOGLE WAZITOE ZIKO KATIKA LINK HAPO CHINI.


ONE
TWO
THREE
FOUR
FIVE
SIX
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa