Mwanzo » » JINA LA ADILI CHAPA KAZI LAPELEKEA DARASA KUBADILI JINA LA MIXTAPE YAKE.

JINA LA ADILI CHAPA KAZI LAPELEKEA DARASA KUBADILI JINA LA MIXTAPE YAKE.

Imewekwa ma Unknown siku Friday 28 February 2014 | 12:14


Rapper Darassa ameamua kuchana na jina la Dream Big Chapakazi kwakuwa kutumia kwake kwa jina hilo alikuwa akimkwaza Adili Chapa kazi ingawa katika wazo lake la kuanzisha jina hilo la mixtape na harakati kadhaa za jina hilo hakuwa mafikiria uwepo wa Jina la Adili Chapakazi basi tu imeonekana kufanana na ikaonekana kuleta mgongano kibiashara katika sanaa.

Darassa aliachia mixtape yake mwaka jana na alikuwa akiendeleza harakati za kibiashara kuhusu projrct hiyo ya Dream Big Chapakazi ila ili kuepeusha mambo mengine ameamua kuachana na brabd name hiyo na anaplan kutafuta jina lingine ambalo anafaikiri litafaa zaidi na atatumia zaidi utafiti kuhakikisha mara hii halifanani tena na ubunifu wa mtu wingine.

Uamuzi huo wa yeye kuachana na jina la mixtape ya Vol. 1 ya Dream Big-Chapakazi Mixtape sasa haijaulikana kama Darassa atakuja na Vol 2 au jina la volume litakuwa jipya na itaanza mwanzo yaani Vol 1 au Vol 2...
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa