Mwanzo » » CHEGGE CHIGUNDA KUFUNIKA NA ''WAUWE'' BAADA YA ''CHAPA NYINGINE''.

CHEGGE CHIGUNDA KUFUNIKA NA ''WAUWE'' BAADA YA ''CHAPA NYINGINE''.

Imewekwa ma Unknown siku Monday 31 March 2014 | 15:11


Member wa kundi la wanaume famili Chegge Chigunda amewataarifu mashabiki na wadau wote wamuziki wake na bongo fleva kwa ujumba kuwa kwasasa mbali na kuwa ngoma yake ya chapa nyingine inaendelea kufanya vizuri yuko njiani kuachia hit nyingine ambayo mpaka sasa unaposoma taarifa hii ngoma hivyo mpya nayokwenda kuachia Chegge iko tayari.


Akitoa taarifa kupitia The Playlist ya kituo cha habari cha times Fm Mtoto wa mama Said alizungumzia ujio kuwa ujio mwingine mkali na wenye kuiwakilisha vizuri zaidi team nzima ya crew yao ya TMK Wanaume na mkwaju huo umetayarishwa mwezi uliopita na unakwenda kwa jina ''wauwe''.
Share habari hii :

Post a Comment

WADHAMINI WA BLOG YETU

SIKILIZA CLOUDS FM ONLINE HAPA

TUFUATE HAPA

WASOMAJI WETU

FACEBOOK

DONDOO ZA MWEZI

TWITTER

BLOG ZA WADAU

 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
HAKIMILIKI © 2013. CLICK BONGO TZ - Haki zote zimehifadhiwa