Ni baada ya kufanya poa sana katika Game la Bongo kwa ngoma kibao ikiwemo ile ya ''UZURI WAKO'' ambapo katika kukamilisha kichupa cha ngoma hiyo alisafiri na kwenda Japan kushoot video ambayo ilileta gumzo na kudaiwa kuwa imefungiwa ingawa kwa mujibu wa Juma Jux mwenyewe anadai kuwa hajaletewa barua ya kumtaarifu kama msanii mmiliki wa wimbo wa Uzuri wako sasa ikiwa chini ya AM Rec na mtayarishaji akiwa ni yule mdogo wake na Maneck wakuitwa Bob Maneck waamekamilisha kazi inayokwenda kwa jina ''NITASUBIRI'' DOWNLOAD HAPA BURE.
Playtech dan Masa Depan Industri Perjudian Online
-
Industri perjudian online telah mengalami pertumbuhan yang pesat selama
beberapa dekade terakhir, didorong oleh inovasi teknologi dan peningkatan
aksesib...
Post a Comment